Thursday 15 December 2016

PANYA WA SUA WANAVYOPATA MAFUNZO MPAKA WANAPATA WANATEGUA MABOMU

Panya wanapata shule kuweza kutambua vitu mbalimbali kama vile mabomu yaliofukiwa ardhini,vimelea ya magonjwa kama vile TB na vitu vingine kuwafanya wanakuwa jasiri, mpaka anahitimu nakupatia chet hadi anafikia ktk shahada ya kwanza yaani degree. angalia hiyo video chini hapo utaona